@nyavas414 years agoHongera sana uko vizuri sana na unasauti yakuwa mtangazaji mzuri utafika mbali sana. 4
@
@rashidally11494 years agoHuyu jamaa ni nomaa mungu amlaze mahali pema peponi maana yy ni muanzilishi wa vipindi vingi ambavyo mpaka leo vina heat 1) jambo tanzania tbc 2) mawio zanzibar radio 3) tuongee asubuhi zbc zanzibar 4) aridhio tbc n. K 2. ...Expand1
@jumason1424 years agoKijana anafaa kabisa kupata nafasi tbc maana c kuiga sauti tu anasauti hadim kwa watangazaji. 2
@
@gracechalagwa97454 years agoHongera sana, goodluck wa jina la mwanangu. 2
@
@agent48classified404 years agoTbc mnajitahidi. naona studio safi. 7
@
@benedictdau91614 years agoAridhio, mabadiliko makubwa ndani ya tbc, hakika tutakukumbuka marin hasan marini r. I. P. 8
@
@wizydeko14964 years agoMtoto mzuri huyu mtangazaji jamani mungu kaumba yakhee. 4
@
@binurusm88864 years agoHaa! Jamani huyu kijana tafadhali msimcheleweshe mchukueni hapo tbc ngalau iwe mojawapo ya kumbukukumbu ya hassan marin, chondechonde watamuwahi huyu,. ...Expand5
@
@komboomar82754 years agohata bbc kunakufaa uko vizuri kijana. 2
@
@moudyissa69664 years agoUyu jamaa yupo vizuri jamani ebu nipeni like. 16
@
@maryoswad70224 years agoMpeni kazi anakipaji cha utangazaji da. 4
@
@rehemamsuya22634 years agoDah umenikumbusha marin nilikua namkubali sn. 4
@
@yudatadeshayo44344 years agoAise huyu ni mwandishi wa habari nguli kabisa anapangilia maneno dah mpeni ajira. 4
@
@hamadshein82724 years agoCo unaiga sauti ya bambo au kingwendu. Tisha sana. 4
@
@tabumussa94064 years agoKijana umeweza sana tunaomba upatiwe ajira tbc. 5
@
@danielmlanda25464 years agoMoja kwa moja binafsi nawaomba tbc mumuajiri huyu kijana. 7
@
@dapinitiative24514 years agoHuyo kijana yuko bomba sana, mmmh lkn kwann anataman saut ya marin wakt yy saut yake ni zaid ya marin? Duh naomba anitafute, tbc mambo yenu ni safi sana, yaan safi saana, nawatakia pasaka njema! 8
@
@raymondkaswaga50554 years agoAtakuwa mtu mkubwa sana huyu dogo kwenye tasnia ya habari. 5
@
@tabletennis62964 years agoAnatamba mbele ya camera kama mwandishi mkongwe kabisa. 3
@
@davydany96484 years agoSauti yako tu yatosha hakika hata sauti yko yafaa kukalia kitu alichokuwa anafanya. 2
@
@badenbensoni75164 years agoTujenge utamaduni wa kuwasifu watu wakiwa hai. 10
@
@tabletennis62964 years agoHuyu dogo mbona kama mwandishi ni fundi sana yuko na mvuto mkubwa sana wa habar anajua kucheza na camera kafanya vzr kuliko mwandishi aliemkaribisha. 4
@
@alimakame92154 years agoBado kidogo kwasababu marin sauti yake ilikuwa nzito huyu yake nyembamba. 2
@
@richardcharle8664 years agoMpeni kazi sasa maana kuna watu wanaitwa wasafi wakimwona tu wanae. 6
@
@saloumshusko27984 years agoBado ajaweza labda ajitaidi kufatilia sana hassan marin kwenye clip zake.
@
@rashidally11494 years agoHuyu jamaa ni nomaa mungu amlaze mahali pema peponi maana yy ni muanzilishi wa vipindi vingi ambavyo mpaka leo vina heat 1) jambo tanzania tbc 2) mawio zanzibar radio 3) tuongee asubuhi zbc zanzibar 4) aridhio tbc n. K 2. ...Expand1
@
@binurusm88864 years agoHaa! Jamani huyu kijana tafadhali msimcheleweshe mchukueni hapo tbc ngalau iwe mojawapo ya kumbukukumbu ya hassan marin, chondechonde watamuwahi huyu,. ...Expand5
Related videos for KIJANA ANAYEMUIGIZA SAUTI MARIN HASSAN MARIN ATINGA STUDIO ZA TBC / ATANGAZA HABARI KIMARIN:
1) jambo tanzania tbc 2) mawio zanzibar radio
3) tuongee asubuhi zbc zanzibar
4) aridhio tbc
n. K
2. ...Expand 1
naona studio safi. 7
1) jambo tanzania tbc 2) mawio zanzibar radio
3) tuongee asubuhi zbc zanzibar
4) aridhio tbc
n. K
2. ...Expand 1