@jokhaali91874 years agoHongera sana magu mungu akubariki tuseme amin. 4
@
@mohamedkitemo67994 years agoHamuoni ndugu zangu kama hamuonekani vizuri kabisa mnakatika katika na scratchscartch. 2
@
@kidstz26954 years agoHivi hii ya lini mbn kama mda mrefu sana. 1
@
@abdulkareemseif6674 years agoHapo hakuna cha kupatana wala nini, tutaona tu. 1
@
@esterbegina10224 years agoAhsante sana baba mapatano ni kumpendeza mungu.
@
@kidstz26954 years agoNakubali sana magu piga miaka yote uraisi. 2
@
@mgoamkiza96324 years agoHata sisi madereva utukumbuke maana tumesahaulika muheshimiwa. 9
@
@alihijiiddi89774 years agoUnauona udikteta wa ccm au mcc na kuikandamiza zanzibar na kututuliya uchafu nchi ya zanznzibari wizi wa matrilioni kwa matrioni .
@
@bundukitv13224 years agoWale wapenzi wa stori za SITOSAHAU karibuni Sana katika group letu la WhatsApp. 3
@
@elvispapaa4 years agoThis guy. African obama. Who would run against this guy? I don' t even know the opposition leader wa tz. 5
@
@Typingbob-lw5ji4 years agoMweshimiwa usisahau vivijini napo wanakupa kura zao pia wanatabu wanakutegemea wewe.
@
@kimsmarthucker49734 years agoJina mpya la harmonize ni harmoniza kashatungiwa na uncle magu jaman cjasema mm. 1
@
@alihijiiddi89774 years agoUnauona udikteta wa ccm au mcc na kuikandamiza zanzibar na kututuliya uchafu nchi ya zanznzibari wizi wa matrilioni kwa matrioni .
@
@alihijiiddi89774 years agoUnauona udikteta wa ccm au mcc na kuikandamiza zanzibar na kututuliya uchafu nchi ya zanznzibari wizi wa matrilioni kwa matrioni .
Related videos for Rais Magufuli awasimamisha ALIKIBA, DIAMOND na HARMONIZE, Nataka Mpatane, Nina jambo lenu:
3